Tafuta
-
-

Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Ulongoni A, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 25,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

400 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Tambarare
Karibu na Barabara

Maelezo

🏑✨ KIWANJA KIZURI KINAUZWA – KINYEREZI ULONGONI A ✨🏑

Fursa nzuri ya kumiliki kiwanja kwenye eneo linalokua kwa kasi sana πŸ“

πŸ“ Location: Kinyerezi Ulongoni A
πŸ›£οΈ Takribani chapili kutoka barabara ya lami
πŸ“ Ukubwa: SQM 400
🌿 Eneo ni tambarare kabisa, ujenzi unaanza bila usumbufu wowote
🏠 Kinafaa kwa makazi binafsi na kujenga nyumba ya ndoto yako

πŸ“ Umbali ni takribani kilometa 1 kutoka Kinyerezi Mwisho / Songas
πŸš— Unafika kwa urahisi bila changamoto yoyote

✨ Eneo zuri kwa wanaotaka kuishi karibu na mji katika mazingira mazuri na tulivu

πŸ’° Bei: Milioni 25 tu
πŸ’Ό Service charge: 30,000/=

πŸ“ž Karibu tajiri, tufanye biashara!
Dalali wako Wakishua πŸ’ΌπŸ‘
+255688412890