Kiwanja kinauzwa Kisota Ushuwani, Dar Es Salaam sqm 750
Ukubwa
750 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA USHUWANI 🏡
Unatafuta kiwanja katika eneo la kifahari lenye mazingira tulivu na salama? Hiki ni chaguo sahihi kwa makazi au uwekezaji.
📍 Mahali: Kisota Ushuwani, Kigamboni
Sifa za Kiwanja:
✅ Ukubwa: SQM 750
✅ Kimezungushiwa fensi pande zote
✅ Kina geti tayari
✅ Kimepimwa rasmi
✅ Hati ya Wizara
✅ Mita 500 kutoka barabara kuu
✅ Kilomita 4 kutoka Feri
✅ Kilomita 6 kutoka Kigamboni Darajani
✅ Mazingira mazuri, tulivu na salama
✅ Neighborhood ya kishua yenye nyumba za kisasa na wakazi wa hadhi
💰 Bei: TZS Milioni 165 TSH
🤝 Mazungumzo kidogo yapo kwa mnunuzi makini.
Hii ni fursa nzuri ya kuwekeza au kujenga nyumba ya ndoto zako katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi Kigamboni.
📞0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateinvestment #tanzania















