Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kisota Ushuwani, Kigamboni, Dar Es Salaam (750 sqm)

Sh. 165,000,000

Aina

Kiwanja

Residential Plot for sale in Kigamboni

Ukubwa

750 SQM

Barabara ya Karibu

500m

Maelezo

๐Ÿก KIWANJA KINAUZWA โ€“ KIGAMBONI, KISOTA USHUWANI ๐Ÿก

Unatafuta kiwanja katika eneo la kifahari lenye mazingira tulivu na salama? Hiki ni chaguo sahihi kwa makazi au uwekezaji.

๐Ÿ“ Mahali: Kisota Ushuwani, Kigamboni

Sifa za Kiwanja:
โœ… Ukubwa: SQM 750
โœ… Kimezungushiwa fensi pande zote
โœ… Kina geti tayari
โœ… Kimepimwa rasmi
โœ… Hati ya Wizara
โœ… Mita 500 kutoka barabara kuu
โœ… Kilomita 4 kutoka Feri
โœ… Kilomita 6 kutoka Kigamboni Darajani
โœ… Mazingira mazuri, tulivu na salama
โœ… Neighborhood ya kishua yenye nyumba za kisasa na wakazi wa hadhi

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 165 TSH
๐Ÿค Mazungumzo kidogo yapo kwa mnunuzi makini.

Hii ni fursa nzuri ya kuwekeza au kujenga nyumba ya ndoto zako katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi Kigamboni.

๐Ÿ“ž0769554221
๐Ÿ“Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateinvestment #tanzania