Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kiwalani, Dar Es Salaam sqm 400

video thumbnail
Sh. 70,000,000

Ukubwa

400 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

šŸ” FURSA YA UWEKEZAJI – KIWALANI, DAR ES SALAAM šŸ“

šŸ’° Bei: TSh Milioni 70 (Majadiliano yapo kwa mteja makini)

Unatafuta eneo lenye fursa nyingi za biashara na uwekezaji? Hiki ndicho unachokitafuta!

āœ… Eneo lipo Kiwalani, futi chache kutoka barabara ya lami.
āœ… Ukubwa wa kiwanja: SQM 400
āœ… Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi – Umiliki salama na wa uhakika.

šŸ  Ndani kuna nyumba ambayo unaweza:
āœ”ļø Kuikarabati na kuipangisha.
āœ”ļø Kuibadilisha kuwa apartments za kisasa.
āœ”ļø Kuibomoa na kujenga apartments za kisasa zenye mapato makubwa.

šŸ’¼ Pia eneo hili linafaa kwa:
šŸØ Kujenga Lodge ya kisasa kwa biashara ya malazi.
šŸ”§ Kufungua Garage ya kisasa kwa huduma za magari.
šŸ¢ Kujenga Ofisi au biashara nyingine yoyote yenye faida.

šŸ“ Eneo lina mazingira mazuri na linaendelea kukua kwa kasi, hivyo ni uwekezaji wenye thamani kwa sasa na siku zijazo.

šŸ“ž Service Charge: TSh 50,000/=
šŸ“² +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! šŸ‡¹šŸ‡æ