Kiwanja kinauzwa Majengo, Dodoma

video thumbnail
Sh. 50,000

Maelezo

MAJENGO YA SHULE/EKARI 3,TSHS.1.5 BILIONI,KIBAHA.

Hapa ni KIBAHA-MAILIMOJA.
Palikusuduwa kuwa Chuo Wanahabari.
Ndani ya Fensi na kuna Madarasa 7,
Pamoja na Ofisi na Vyoo.

Ni jirani na Barabara ya Lami.

Sehemu ndogo tu imetumika.
Eneo ni la Viwanda hivyo unaweza kubadilo matumizi.

Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mpg