Kiwanja kinauzwa Makongo, Dar Es Salaam (2500 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
2500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฃ๐๐ข๐ง ๐ฌ๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐ข๐ก๐๐ข โ ๐ฆ๐ค๐ ๐ฎ,๐ฑ๐ฌ๐ฌ! ๐ก๐ฅ
Unatafuta eneo kubwa, tulivu na lenye mazingira mazuri kwa ajili ya kujenga property ya kiwango cha juu? Hii fursa ipo Makongo, Dar es Salaam.
๐ Makongo, Dar es Salaam
๐ Ukubwa: SQM 2,500
๐ฐ Bei: TSh 500,000,000
๐ Eneo limepimwa (Surveyed)
๐ Nyaraka stahiki zinapatikana
๐ฃ๏ธ Karibu na barabara
๐ก Mtaa umetulia na mazingira ni mazuri
Ukubwa huu unakupa nafasi ya kujenga Luxury Home, Apartments au property nyingine kulingana na mahitaji yako.
Eneo lenye nafasi, utulivu na mazingira mazuri kwa mtu anayehitaji property ya kiwango cha juu.
Fursa kama hii inahitaji uje uione mwenyewe. Wasiliana nasi kupanga viewing yako. ๐ฅ
๐
๐ STAMARA PROPERTIES COMPANY LIMITED
Mwenge Bamaga, Dora Tower โ Floor ya 5
#StamaraProperties #Makongo #PropertyForSale #RealEstateTanzania #daressalaam















