Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Maelezo

NYUMBA 5-PAMOJA/PLOT SQM2,500,TSHS.850 MILIONI,MBEZI TANGIBOVU.

Mita 200 tu kutoka Barabara ya Bagamoyo.

Nyumba zote zina Wapangaji.

Ukipenda unazipiga chini ili kuweka Jengo kubwa la kisasa na Parking ya kutosha utapata.

Kwa KUWEKEZA:
Makazi Tulivu,
Hotel au Apartments za Hadhi hapa ndio penyewe.

Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

______________erythn