Tafuta

Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe, Dar Es Salaam (529 sqm)

Sh. 24,000,000

Maelezo

πŸ“KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE KWA MAKALI MAWE🏑

βœ… Ukubwa: SQM 529

βœ… Eneo zuri na linalokua kwa kasi
βœ… Umeme na maji vyote vipo jirani

Kiwanja hiki kinafaa sana kwa makazi binafsi kwa wanaohitaji eneo lenye nafasi ya kutosha kwa familia. Pia ni chaguo bora kwa wawekezaji, kwani ukubwa wake unaruhusu ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye nafasi nzuri ya maegesho na huduma nyingine muhimu.

πŸ’° Bei: Milioni 24 Tu Maongezi yapo kidogo

πŸ“ž +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300

πŸ’΅ Service Charge: 30,000/=

Karibu ndugu mteja tufanye biashara.

Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!! 🏠✨