Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe, Dar Es Salaam sqm 460

Ukubwa
460 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ KIWANJA KINAUZWA โ MBEZI MAKABE ๐ก
โ
Ukubwa: SQM 460
โ
Kipo dakika 4 kwa miguu kutoka ofisi ya serikali ya mtaa MAKABE
โ
Eneo zuri na linalokua kwa kasi
โ
Umeme na maji vyote vipo jirani
Kiwanja hiki kinafaa sana kwa makazi binafsi kwa wanaohitaji eneo lenye nafasi ya kutosha kwa familia. Pia ni chaguo bora kwa wawekezaji, kwani ukubwa wake unaruhusu ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye nafasi nzuri ya maegesho na huduma nyingine muhimu.
๐ฐ Bei: Milioni 27 Tu Maongezi yapo kidogo
๐ +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
๐ต Service Charge: 30,000/=
Karibu ndugu mteja tufanye biashara.
Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!! ๐ โจ















