Kiwanja kinauzwa Mbezi Makonde, Dar Es Salaam sqm 1350

Ukubwa
1350 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA SQM.1,350,TSHS.400 MILIONI,MBEZI MAKONDE.
Ni upande wa CHINI/Kulia ukielekea Bagamoyo kutoka Mwenge.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Hapa weka Makazi yako tulivu au nyumba ya Biashara.
___________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548.
___________________ryt















