Kiwanja kinauzwa Mbezi Msumi, Dar Es Salaam (900 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA MBEZI MSUMI – CORNER PLOT! 🔥
📍 Sifa za Kiwanja:
Mahali: Mbezi Msumi, kwenye mtaa unaokua kwa kasi sana na wa kisasa (Mtaa wa Vijana).
Ukubwa: SQM 900 (Nafasi ya kutosha sana kwa mjengo wa kisasa na garden).
Umbali: Mita 600 tu kutoka barabara mpya ya lami!
Muundo: Ni Corner Plot (Inatazama pande mbili za barabara, inakupa uhuru wa kupanga ramani ya kuvutia).
Muonekano: Kiko tambarare kabisa (Flat land), hakuna milima wala mabonde.
Gharama nafuu: Tayari jirani amejenga ukuta upande mmoja, hivyo unapunguza gharama za fensi!
💰 BEI: TZS Milioni 55 tu!
Usikubali nafasi hii ikupite. Eneo linakimbizana na maendeleo kwa kasi kubwa!
📞 Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi na kufanya site visit:
👉 Call/WhatsApp: 0794277000















