Kiwanja kinauzwa Mbweni Jkt, Dar Es Salaam sqm 600
Ukubwa
600 SQM
Maelezo
π₯ KIWANJA CHA KIFAHARI KINAUZWA β MBWENIJKT (BLOCK 8) π₯
Kama unatafuta eneo la kujenga mjengo wako wa ndoto kwenye mazingira ya utulivu, usalama, na yenye majirani wa hadhi ya juu, hii ndiyo fursa yako!
Mbezi JKT Block 8 ni eneo linalokua kwa kasi na kuvutia watu wote wenye muonekano wa tofauti. Hapa hakuna uswahili wala kelele; ni eneo tulivu linalokupa amani ya nafsi na usalama wa familia yako.
Sifa za Kiwanja:
π Eneo:MBWENI JKT (Block 8)
π Ukubwa: Ukubwa wa Mita za Mraba 600 (SQM 600)
β¨ Mazingira: Eneo lililopangwa vizuri, miundombinu safi, majirani classic na mazingira yenye hadhi kubwa.
π° Bei: TZS Milioni 320 (Maongezi yapo)
Hii ni investment ya uhakika kwa mtu anayejua thamani ya makazi bora na ya kisasa.
π² Wasiliana nasi sasa kwa maongezi zaidi: [0716702213]
π¬ WhatsApp / Piga Simu: [0716702213] @dalaliuhuru















