Kiwanja kinauzwa Mjimwema, Kigamboni, Dar Es Salaam (1350 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ด KIWANJA KINAUZWA โ KIGAMBONI, MJIMWEMA ๐ด
Fursa adhimu ya kumiliki kiwanja katika eneo la kifahari na linaloendelea kwa kasi la Kigamboni โ Mjimwema.
โ
Ukubwa: 1,350 Sqmโจโ
Kimepimwaโจโ
Kina Hati ya Wizara ya Ardhi
๐ฐ Bei: TZS Milioni 155 (Maongezi yapo.)
๐ Mahali kilipo:โจโข Mita 300 kutoka barabara ya lamiโจโข Kilomita 5 kutoka Feri ya Kigamboniโจโข Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
๐ Kiwanja hiki kinafaa kwa makazi ya kifahari, uwekezaji, au kujenga dream house yako katika eneo tulivu na lenye maendeleo makubwa.
๐0769554221
#trending #realestateagents #istagram #tanzania #trendingaudio















