Kiwanja kinauzwa Mlimwa C, Dodoma sqm 803

Ukubwa
803 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
FURSA ADHIMU MLIMWA C - USHUANI! 🔥Je, unatafuta eneo tulivu, salama na lenye hadhi kwa ajili ya uwekezaji wako? Kiwanja hiki kiko tayari kwa ajili yako!📍 Mahali: Mlimwa C (Ushuani)📏 Ukubwa: 803sqm🛡️ Hali: Kimezungushiwa FENCE kote (Usalama 100%)📜 Nyaraka: Hati miliki (Title Deed) ipo mkononi.Nini unaweza kujenga hapa?✅ Apartments za kisasa✅ AirBnB (Eneo lina soko kubwa)✅ Nyumba ya makazi ya kifahari💰 BEI: Milioni 58 tu!🚗 Gharama za kupelekwa site: 20,000/=📞 Mawasiliano: 0714024420 Wahi sasa, viwanja vya eneo hili havikai sokoni muda mrefu! @dalali_ngosha_dodoma





