Kiwanja kinauzwa Muyuni Matemwe, Zanzibar (540 sqm)









Maelezo
KIWANJA KINAUZWA MUYUNI MATEMWE #unguja #zanzibar Kiwanja kipo baada ya Barabara/Hifadhi ya barabara Kutoka kiwanja kilipo mpaka Beach/Pwani Mita 3Km Ukubwa wa Kiwanja Mita 30x18 Bei Tsh 25 Milioni ishirini na tano NB:Picha za Beach/Pwani ambazo zipo pamoja na picha za kiwanja, zina lengo la kukuonyesha aina ya fukwe ilivyo na haina maana kuwa hiki kiwanja kipo baada ya Beach/Pwani. Nasisitiza; umbali wa kutoka kiwanja kilipo mpaka Beach/Pwani ni 3km What’s App/Call 0653007438 #mtegemeachanduguhufamaskini #kimfaachomtuchake





