Kiwanja kinauzwa Pumuani, Kilimanjaro (810 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
810 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐Habari za kwako ndugu mteja na pole na majukumu yako ya Kila siku , Karibu ujipatie ardhi ya Bei nafuu na ya uhakika Kwa ajili ya Kujenga NYUMBA ya kuishi , Ina UREFU wa 30 upana 27 , ni Kiwanja kilichopo eneo zuri na la kisasa Kwa AJIRI ya makazi majirani wapo. , Bei ya kuuzia ni mil.16 tuu
๐Kiwanja kipo PUMUANI MOSHI ,karibia na shule ya msingi MAKAA .
๐karibu sana ujipatie viwanja vizuri kwa ajili ya makazi..
๐๐0672701329๐๐
#moshiviwanja
#dalalimoshi_nyumba
#dalalimoshi_viwanja
#viralreels
#todayhashtags





