Kiwanja kinauzwa Salasala, Dar Es Salaam (1200 sqm)

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

1200 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Tambarare

Maelezo

🔥 FURSA ADIMU – VIWANJA VINAUZWA SALASALA 🔥

📍 Eneo: Salasala (sehemu nzuri, tulivu na yenye maendeleo ya kasi)
📐 Ukubwa: SQM 1200 kila kiwanja
💰 Bei: Milioni 150 (mazungumzo yapo)

🌟 Maelezo Muhimu:
• Viwanja VITATU vinapatikana
• Kila kiwanja kina hati safi (Title Deed)
• Eneo ni tambarare, linafaa kwa makazi au uwekezaji
• Barabara nzuri, gari yoyote inafika hadi eneo la kiwanja

👉 Hii ni nafasi nzuri ya kumiliki kiwanja eneo la hadhi kabla bei haijapanda!

📞 +255692181138

#KiwanjaKinauzwa #Salasala #RealEstateTanzania #ViwanjaDar #Uwekezaji NyumbaNaViwanja FursaAdimu DarEsSalaam LandForSale PropertyTanzania