Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa JKT, Dar Es Salaam sqm 2600






Ukubwa
2600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
š” KIWANJA KIKUBWA KINAUZWA ā TABATA BONYOKWA JKT š”
Kipo maeneo ya Tabata Bonyokwa JKT ambapo kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa kwa bei rafiki kabisa.
Kiwanja kina ukubwa wa Sqm 2,600 na kina hati miliki halali.
ā
Kina msingi wa fence
ā
Eneo ni tambarare kabisa
ā
Barabara nzuri na panafikika bila shida kipindi chote
ā
Karibu na huduma zote muhimu za kijamii
š Location: Tabata Bonyokwa JKT
* Karibu na Tabata Segerea mwisho V/Bank
* Takribani njia ya tatu kutoka Bonyokwa Mwisho Stand
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
šØ Hotel
š„ Hospitali
š« Shule
š¢ Nyumba za biashara / apartments
š Nyumba za ibada
š Makazi binafsi yenye eneo kubwa
š° Bei: Milioni 125 tu
š Hati miliki ipo
š¼ Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
Karibu ofisini upate maelezo zaidi na kufanya uwekezaji wenye thamani.
š Muhitaji piga: +255688412890
⨠Dalali wako Wakishua āØ















