Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa Kanada, Dar Es Salaam (650 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ KIWANJA KIZURI KINAUZWA TABATA BONYOKWA KANADA 🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
📍 TABATA BONYOKWA KANADA
🚗UMBALI NI KM 2 KUTOKA MAIN RAOD
📐 UKUBWA WA KIWANJA NI SQM 650
📑UMILIKI - NYALAKA ZA SERIKALI ZA MTAA
🔴Kiwanja hiki kipo sehemu NZURI sana kwanza kina msingi wa fence pande zote hapa tumeepusha migogoro ya ardhi kuingiliana kwenye mipanga ya kiwanja, kiwanja kipo katika mazingira mazuri na rafiki sana panafikika kwa nyakati zote,kwa wale ambao wanahitaji kuwekeza kwenye Apartments hapa ni safi,Ila kwa ishu ya bnb hapalipi pia panafaa kwa makazi.
✅Njoo ufunje ujenge Apartments kali
✅Tambarare kabisa
✅Huduma za kijamii zipo Kama umeme,shule,masoko,
✅Neighborhood nzuri sana
💰 BEI NI 29.5 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga: +255 785 916 587
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliyohanakinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstat















