Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (600 sqm)







Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 48,000,000
Aina
Kiwanja
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Uzio
Karibu na Stendi ya Mabasi
Can Build Apartment
Can Build Lodge
Can Build Airbnb
Maelezo
Kiwanja kizuri sana kinauzwa bei 48. Ukubwa wa eneo square meter 600 hivi, pia eneo hii ya kiwanja kuna barabara 2 za mtaa hadi site ya kiwanja, pia kuna fence pande 2 tayari, hapa unaweza jenga nyumba za makazi au apartment, lodge, air bnb, n.k, kutoka kituoni kwa bodaboda sh 1000 au kutembea kwa mguu dakika 10 hadi 15 hivi, karibuni sana ndugu wateja wetu muje muwekeze hapa katika aridhi azina inayo panda samani kila siku, Location tabata kinyerezi dar es salaam
Calls/whatsapp 0653233641 au 0768682919
Service charge tsh 50000
Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam
