Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam sqm 2112

Ukubwa
2112 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA π‘
π Location: Tabata Kinyerezi kwa Makofia, Dar es Salaam, Tanzania πΉπΏ
π° Bei: TSh Milioni 135 (maongezi yapo)
π Ukubwa: SQM 2,112
β
Kiwanja kipo jirani na barabara ya lami.
β
Kipo katika mtaa mzuri uliopangwa na uliojengeka.
β
Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto wakati wote.
β
Kinafaa kwa ujenzi wa apartments, nyumba za makazi au mradi mwingine wa uwekezaji.
β
Kipo katika neighbourhood tulivu na salama, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji wa muda mrefu.
β
Umiliki: Sales Agreement (Eneo limepimwa).
β¨ Hii ni fursa adhimu ya kumiliki kiwanja kikubwa katika eneo linalokua kwa kasi, lenye thamani inayoongezeka kila siku.
πΌ Gharama ya Huduma (Service Charge): TSh 30,000/=
π Wasiliana: +255 785 916 687
π₯ Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















