Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam sqm 1060

Ukubwa
1060 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja kinauzwa bei milion 210, ukubwa wa kiwanja square meter 1060, eneo zuri sana na tambalale sana pia hapa unaweza jenga nyumba za makazi au apartment, n.k, pia kuna pande 2 za fence tayari, barabara ya mtaa pia ipo, kutoka kituoni dakika 6 hadi 8 hivi, Location ya tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 50000















