Kiwanja kinauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA KINAUZWA โ TABATA SANENE
Je, unatafuta kiwanja chenye bei nafuu kwa uwekezaji? Hiki ni fursa yako!
๐ Location: Tabata Sanene
๐ Ukubwa: SQM 800
๐ฃ๏ธ Umbali: Mita 200 kutoka barabara ya lami
โ
Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba za biashara
โ
Eneo linaendelea kwa kasi na lina mazingira mazuri ya uwekezaji
โ
Ufikaji ni rahisi kipindi chote cha mwaka
๐ฐ Bei: TSh Milioni 29 tu
๐ Wasiliana: 0688 412 890
๐ฐ Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.
Dalali Wakishua โ Miliki Kesho Yako Leo!!!















