Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam sqm 751
Ukubwa
751 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ KIWANJA KIZURI KINAUZWA TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BANK DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
📍 TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BANK
🚗UMBALI NI DAKIKA 2 KUTOKA MAIN RAOD
📐 UKUBWA WA KIWANJA NI SQM 751
📑UMILIKI - HATI MILIKI YA WIZARA YA ARDHI
🔴Je Unahitaji kiwanja ambacho kipo jirani na lami basi kiwanja hiki kitakufaa mteja wangu,
Kwa kiwanja kipo karibu na balabala hii itakupa ulahisi kufika katika makazi yako pia balabala zake ni nzuri hakuna milima wala mabonde hapa inakupa ulahisi wewe mteja kufika kwenye makazi yako,kiwanja hiki kinafaa kwa uwekezaji hasa Apartments au bnb Kwa maana location yake ni nzuri sana pia hata kwa makazi Kama unahitaji kiwanja hiki basi Fanya kuwahi kimbilia fulsa hii isikupite
✅Njoo ufunje ujenge Apartments kali
✅Tambarare kabisa
✅Huduma za kijamii zipo Kama umeme,shule,masoko,
✅Neighborhood nzuri sana
💰 BEI NI 105 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga: +255 785 916 587
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliyohanakinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstat













