Tafuta

Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Chanika, Tungini, Dar Es Salaam (5678 sqm)

Sh. 450,000,000

Huduma na Sifa

(Fence) Ukuta
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara
Includes Two Rental Houses
Includes Two Car Garage

Maelezo

ENEO LA EKARI 1.16 LINAUZWA CHANIKA, TUNGINI*

๐Ÿ“Chanika, Tungini

Distance: Eneo lipo 200 meters kutoka Barabara kubwa ya lami

Eneo limezungurushiwa ukuta na geti.

Ndani ya eneo Kuna nyumba 2 za wapangaji pamoja na garage ya magari mawili.

Eneo linafaa kwa Makazi, Light Industry, Shamba la ufugaji n.k

Plot size Sqms 5,678
Document: Un Surveyed

Bei shilingi milioni 450 maongezi yapo
Contact 0712531657
0789731695

Matangazo mengine Chanika, Dar Es Salaam