Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam (350 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 25,000,000

Aina

Kiwanja (Residential/Commercial)

Ukubwa

350 SQM

Huduma na Sifa

Ardhi Tambarare
Karibu na Barabara

Maelezo

Kiwanja kinauzwa bei milion 25, ukubwa wa eneo square meter 350, eneo nzuri sana na tambalale sana pia hii eneo linatazama barabara kuu ya mtaa, hapa unaweza kujenga nyumba apartment, nyumna ya makazi au fremu za kibiashara n.k, kutoka kituoni dakika 15 hadi 18 hivi au bodaboda sh 1000, hii eneo lipo maeneo ya tabata kinyerezi dar es salaam

Kwa maelezo zaidi piga sim
Calls/whatsapp 0653233641 au 0653233641

Service charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam