Mashamba yanauzwa Kiwangwa, Pwani


Kiwangwa, Pwani
1 hour ago
Sh. 2,000,000/acre
Aina
Shamba
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Site Visit Bure
Cash Discount10 Percent
Maelezo
🏡🏡KARIBU KATIKA MIRADI YA MASHAMBA
BAGAMOYO - KIWANGWA
✅Bei Ekari 1=2,000,000.
✅Anza na 100,000 lipia ndani ya miezi 20.
✅lipia cash upate punguzo la 10%.
🏡🏡KARIBU KATIKA MRADI WA VIWANJA
CHALINZE -LUGOBA.🪜.
1SQM=5000.
Viwanja Vipo kuanzia ukubwa wa sqm 600,700 na 1000.
✅ Lipia cash upate punguzo la 10%.
✅ Malipo ni muda wa miezi 15.
✅ Anza na 200,000 kulipia kila mwezi ndani ya miezi 15 .
SITE VISIT 🚌.
Safari ni kila jumamosi .
Muda ni saa 2:00 Asubuhi
Nauli 12,000 kwenda na kurudi
Mbezi Beach near Massana Hospital
#kilimobiashara #tanzania #tanzania🇹🇿 #mashamba





