Nyumba (Furnished) ya vyumba vinne inauzwa MBEZI BEACH, Dar Es Salaam (1900 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
Sh. 800,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

1900 SQM

Samani

Ndiyo

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Kisima
Bustani
Tiles
Makabati
Mpya
Feni

Maelezo

*NYUMBA INAUZWA*

*Nyumba ina Vyumba vi4, vyote ni master!*

*SIFA ZA NYUMBA*
1. Ina kisima cha Maji
2. Ina garden
3. Ina peving
4. Vyumba vyote vina makabati na dressing table
5. Sebule ina kila kitu

*Na nyumba ni mpya kabisa!*

Location: *MBEZI BEACH*
Mkoa: *DAR ES SALAAM*
Price: *800Milioni*
Muuzaji anakupa option ya kulipia awamu nne kwa miaka 2, nyumba ina hati inayosoma jina lake.
Nyumba ina furniture zote ndani .Ukilipa awamu ya kwanza anakukabidhi nyumba.

*Ukubwa wa eneo square meter 1900* CONTACT+255 754990088 whatssap number 0754990088 visit google 7estate tanzania web page www sevenestate co.tz