Nyumba (Furnished) ya vyumba vinne inauzwa MBEZI BEACH, Dar Es Salaam (1900 sqm)






Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 800,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1900 SQM
Samani
Ndiyo
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Kisima
Bustani
Tiles
Makabati
Mpya
Feni
Maelezo
*NYUMBA INAUZWA*
*Nyumba ina Vyumba vi4, vyote ni master!*
*SIFA ZA NYUMBA*
1. Ina kisima cha Maji
2. Ina garden
3. Ina peving
4. Vyumba vyote vina makabati na dressing table
5. Sebule ina kila kitu
*Na nyumba ni mpya kabisa!*
Location: *MBEZI BEACH*
Mkoa: *DAR ES SALAAM*
Price: *800Milioni*
Muuzaji anakupa option ya kulipia awamu nne kwa miaka 2, nyumba ina hati inayosoma jina lake.
Nyumba ina furniture zote ndani .Ukilipa awamu ya kwanza anakukabidhi nyumba.
*Ukubwa wa eneo square meter 1900* CONTACT+255 754990088 whatssap number 0754990088 visit google 7estate tanzania web page www sevenestate co.tz
