Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Geza Beachside, Dar Es Salaam (800 sqm)

Maelezo
MUNGU ATA KUFANYIA WEPESI MWAKA HUU KABLA HAUJAISHA UTAMILIKI NYUMBA KAMA HII SEMA AMINA🔥
👑 KASRI LA KIFAHARI LINAAUZWA – KIGAMBONI GEZA BEACHSIDE, DAR ES SALAAM
Karibu kwenye moja ya nyumba za kifahari zaidi zilizopo Kigamboni Geza Beachside. Ikiwa unatafuta makazi ya hadhi ya juu au uwekezaji wa thamani, hii ni fursa ya kipekee.
📍 Mahali: Kigamboni Geza Beachside, Dar es Salaam.
Sifa za Kasri:
🏡 Vyumba 5 vya kulala
🛋️ Full Furnished – linauzwa pamoja na samani zote za kisasa
✨ Aluminium tiles za kisasa
🎨 Gypsum ya kuvutia yenye finishing ya hali ya juu
🪑 Samani za kifahari na za kisasa
🏗️ Ujenzi wa kiwango cha juu wenye muonekano wa kisasa
📐 Ukubwa wa eneo: Square Meter 800
Nyumba hii imejengwa kwa ubora wa hali ya juu, ikiwa na nafasi kubwa, mazingira tulivu na hadhi inayokidhi maisha ya kifahari kwa familia au mwekezaji anayethamini ubora.
💰 Bei: TZS 800,000,000
🤝 Mazungumzo yapo kidogo.
📞 Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii ya kipekee.
Service Charge: TZS 30,000
📲 Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment LuxuryHome















