Tafuta

Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Geza Ulole, Dar Es Salaam (1350 sqm)

video thumbnail
Sh. 800,000,000

Maelezo

🏡 GOROFA FULL FENITURE LA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, GEZA ULOLE 🌴

Fursa ya kipekee ya kumiliki gorofa ya kifahari katika eneo tulivu na lenye hadhi!

✨ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Full Furniture (Inauzwa pamoja na samani zote)
* Full AC
* Garden nzuri
* Electric Fence
* CCTV Camera
* Mazingira safi na salama

📍 Mahali:

* Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 10 kutoka Ferry
* Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere

📐 Ukubwa wa Eneo:

* Square Meter 1,350
* Limepimwa na lina Hati ya Wizara

💰 Bei: TSh Milioni 800 (Mazungumzo kidogo yapo.)

📞 0759554221
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni – Dege, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Sh. 150,000,000

For Sale4 beds3 baths1,500 sqmhouse