Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Geza Ulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Bafu
5
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Samani
Ndiyo
Huduma na Sifa
Maelezo
🌊 BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI GEZA ULOLE 🏡
Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba ya kifahari karibu na bahari, inayofaa kwa makazi, uwekezaji au biashara ya utalii.
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko la kisasa
✅ Full Furniture (Inauzwa na samani zote)
✅ Flooring ya kisasa
✅ Electric Fence
✅ CCTV Camera
📐 Ukubwa wa Eneo: Square Meter 800
📄 Hati: Hati ya Wizara
📍 Mahali:
• Meta 200 kutoka ufukweni mwa bahari
• Meta 400 kutoka barabara kuu ya lami
• Kilomita 12 kutoka Ferry
• Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: TZS Milioni 800 (Mazungumzo yapo)
🏖️ Inafaa kwa:
✔️ Makazi ya kifahari
✔️ Uwekezaji
✔️ Airbnb
✔️ Beach Resort au Hotel
✔️ Holiday Home
📞 0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















