Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Geza Ulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Samani
Ndiyo
Huduma na Sifa
Maelezo
π BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA β KIGAMBONI GEZA ULOLE π‘
Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba ya kifahari karibu na bahari, inayofaa kwa makazi, uwekezaji au biashara ya utalii.
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Full Furniture (Inauzwa na samani zote)
β
Flooring ya kisasa
β
Electric Fence
β
CCTV Camera
π Ukubwa wa Eneo: Square Meter 800
π Hati: Hati ya Wizara
π Mahali:
β’ Meta 200 kutoka ufukweni mwa bahari
β’ Meta 400 kutoka barabara kuu ya lami
β’ Kilomita 12 kutoka Ferry
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 800 (Mazungumzo yapo)
ποΈ Inafaa kwa:
βοΈ Makazi ya kifahari
βοΈ Uwekezaji
βοΈ Airbnb
βοΈ Beach Resort au Hotel
βοΈ Holiday Home
π 0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















