Nyumba inauzwa Fundi Baiskeli, Kigamboni, Dar Es Salaam (2 acre)

video thumbnail
Sh. 140,000,000

Aina

Nyumba

Ukubwa

2 ACRE

Huduma na Sifa

Uzio
Parking Space
Bustani
Frame
Swimming Pool

Maelezo

🏡 NYUMBA NZURI YA KIFAMILIA INAUZWA – KIGAMBONI (FUN CITY)📍 Location: Fundi Baiskeli, Kigamboni💰 Bei: TZS 140,000,000 (Milioni 140 tu)✅ Ipo kwenye kiwanja kikubwa sana (ERF 2)✅ Tayari ina fence (uzio)✅ Nyumba ipo 90% imekamilika – unaweza kuhamia au ukaimalizia upendavyo✅ Ina frame moja tayari kwa maendeleo zaidi✅ Parking kubwa ya magari✅ Eneo kubwa la garden 🌴✅ Nafasi ya kufanya party 🎉✅ Inafaa kuweka swimming pool 🏊‍♂️✅ Ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu kwa familia