Nyumba inauzwa Kariakoo, Dar Es Salaam

Kariakoo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 1,300,000,000
Aina
Nyumba
Ukubwa
320 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba hiyo inauzwa ipo Kariakoo mtaa wa Twiga na Jangwani inaukubwa wa sqm 320 hii nyumba ni yamirathi na wote wamekubaliana kuuza wenyewe wanauza B.1.3Tsh maongezi yapo kidogo Document walizokuwa nazo ni Hati ya Wizara
Contact 0712531657
0789731695















