Nyumba inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (5000 sqm)

Kibaha, Pwani
2 hours ago
Sh. 220,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
Eneo hilo linauzwa lenye nyumba ndani ya kisasa na mabanda yake hili eneo linaukubwa wa sqm 5,000.sawa na Heka moja na robo lipo Kibaha kwa Mathias kutoka barabara kubwa ya Morogoro Road Kilometa 2tu eneo hili ni lamirathi na wote wamekubaliana kuuza na lina Hati ya kisasa ya wizara wenyewe wanauza ml.220Tsh maongezi yapo
Contact 0712531657
0789731695















