Nyumba inauzwa Kilimanjaro

video thumbnail
Sh. 35,000,000

Aina

Nyumba

Maelezo

NYUMBA PAGALE INAUZWA BINAFSI..
ILIKUWA IMEKAMILIKA KILA KITU IKAEZULIWA ILI IEZEKWE UPYA KISASA

Ipo luguluni manispaa ya ubungo kwembe

Awali ilikuwa ni nyumba kamili ametoa juu bati na madilisha ya mbao ili aongeze kozi moja apauwe apige bati za msouth juu

Sasa mipango si matumizii Dili limegonga mwamba na sasa anauza, ndani rangi, tiles, plasta safi kama unavyoona

Nyumba kubwa ni ya vyumba v3, kimoja master, sebule, jiko, dinning.

Nje ipo servant quarter ya chumba master na sebule zipo tatu

Eneo sqm 500
Bei mil 35 maongezi

Maji umeme vipo ndani hapo

Umiliki mkataba wa mauziano serikali ya mtaa

Ni pazuri sana kwa makazi

ENEO LIPO NDANI YA FENCE UJE UWEKE GATE TUUUU

SERVICE CHARGE 50KπŸ“Œ

Mawasiliano Whatsapp au call 0784 919 453,, call only 0658 582 977
Kujiunga na group letu la Whatsapp bonyeza πŸ‘‡ https://chat.whatsapp.com/BLDVlGxAuXH2z2p5y9u9fq
.
.
.
.

.
.

.

.

.
.
#regrann #nyumbazakisasa #nyumbanichoo #nyumbanzuri #auction #dalaliwanyumba #viwanja #mashamba #plot #kiwanja #cloudstv #nyumbanafuu #nyumbayakupanga #nyumbayangu #nyumbadareslaam #clouds #maishaninyumba
#daressalaam #wemasepetu #mwanza #kilimanjaro #nyumba #magari #tanzania #biashara #bongo #kariakoo #business #home #houseforsale

Tafuta unachotaka Kilimanjaro, Moshi CBD, Kilimanjaro