Nyumba inauzwa Kinondoni MKWAJUNI, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAANGALIA LAMI YA MTAA,TSHS.55 MILIONI,KINONDONI.<br/><br/>Eneo ni Kinondoni MKWAJUNI.<br/><br/>Ni nyumba ya KIZAMANI. <br/><br/>Hapa unaweza;<br/>●Kuendelea kuchukua Kodi,<br/>●Kuiboresha ili Kuchuma Kodi zaidi,<br/>●Kuweka Makazi yako au<br/>●Kuipiga chini na kuweka Jengo la kisasa la Apartments au Maofisi.<br/><br/>Nyumba inaangalia Barabara yenye Lami ya Mtaa.<br/>Na si mbali na Barabara kubwa. <br/><br/>______________<br/><br/>ANGALIZO:<br/>Malipo ya Dalali ni 10%<br/>Kuona ni Tshs.50,000. <br/>(Unalipa wewe MNUNUZI)<br/><br/>Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. <br/><br/>+255 714 591 548<br/><br/>______________ryt










