Nyumba inauzwa Kisima Majongoo, Kilimanjaro
Maelezo
š” NYUMBA MBILI ZINAUZWA ā KISIMA MAJONGOO, ZANZIBAR
š„ FURSA ADHIMU KWA WAWEKEZAJI! š„
Tunauza nyumba mbili zilizopo Kisima Majongoo, eneo zuri sana na lenye fursa kubwa kwa ajili ya uwekezaji.
š Ukubwa wa nyumba: š Nyumba ya kwanza: mita 13 Ć 9 š Nyumba ya pili: mita 19 Ć 9
Nyumba hizi mbili ziko katika eneo moja, hivyo mwekezaji anaweza kuzichukua zote mbili na kuziunganisha kwa ajili ya kufanya mradi mkubwa zaidi.
š° BEI: TSh 500,000,000 tu kwa nyumba zote mbili!
⨠Eneo hili linafaa sana kwa:
š¢ Kujenga Apartment
š¬ Kujenga Godown / sehemu ya kuhifadhia mizigo
šļø Kujenga jengo la Floor 3 au Floor 4
š¼ Uwekezaji wa muda mrefu wenye thamani kubwa
š Kisima Majongoo ni eneo la mjini, hivyo ni sehemu yenye fursa nzuri kwa mtu mwenye mtaji anayehitaji kufanya uwekezaji mkubwa.
š„ TSh 500M kwa nyumba zote mbili ni fursa nzuri kwa eneo kama hili!
š Kama una mtaji na unatafuta sehemu nzuri ya kufanya uwekezaji, hii ni nafasi yako.
š Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi: 0776109092
0686230110
šļø Karibu Kisima Majongoo ā tujenge uwekezaji wako pamoja!
