Tafuta

Nyumba inauzwa Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000,000

Aina

Nyumba

House for sale in Mbezi

Ukubwa

5.5 ACRE

Barabara ya Karibu

2.5km β€” Morogoro Road

Maelezo

πŸ“’ ENEO LENYE GOROFA NDANI YAKE LINOUZWA HARAKA – ENEO LIPO MBEZI MWISHO NJIA YA KWENDA MPIGI MAGOE

ENEO LINA HATI SAFI

Inauzwa eneo kubwa lenye ukubwa wa heka 5.5 likiwa na jengo la gorofa tayari ndani yake, lililopo Mbezi
βœ… Umbali wa km 2.5 tu kutoka Morogoro Main Road
βœ… Usafiri unapatikana kwa urahisi: Daladala, Bajaji na Bodaboda
βœ… Eneo zuri, tulivu na linafaa kwa matumizi mbalimbali

Matumizi yanayofaa:
Makazi ya kisasa (Residential)
Ujenzi wa nyumba za kisasa
Godown / Maghala
Miradi ya uwekezaji
Makazi ya kuishi au biashara nyingine

πŸ’° Bei: Tsh Million 800πŸ’°
🀝 Maongezi yapo kwa mnunuzi makini

πŸ‘€ Gharama ya kuangalia eneo ni Tsh 30,000 (Service Charge)
πŸ“ž Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga muda wa kuangalia eneo.

CONTACT US:
0790480030
0662715781