Tafuta

Nyumba inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (770 sqm)

Sh. 250,000,000

Aina

Nyumba

House for sale in Tabata

Ukubwa

770 SQM

Barabara ya Karibu

800m

Huduma na Sifa

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA TATU ZINAUZWA KWA PAMOJA โ€“ TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM

๐Ÿ“ Nchi: Tanzania
๐Ÿ™๏ธ Jiji: Dar es Salaam
๐Ÿ“Œ Eneo: Tabata Kimanga

๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 250 (Maongezi Yapoo)

๐Ÿ“ Ukubwa wa Viwanja:
โœ… Nyumba Kubwa โ€“ SQMT 420
โœ… Nyumba Ndogo ya Kwanza โ€“ SQMT 175
โœ… Nyumba Ndogo ya Pili โ€“ SQMT 175

๐Ÿ“ Jumla ya Eneo: SQMT 770

๐Ÿ“„ Nyaraka:
โœ”๏ธ Nyumba Kubwa Ina Hati Safi
โœ”๏ธ Nyumba Mbili Nyingine Zina Mauziano ya Serikali ya Mtaa (Sales Agreement)

๐Ÿš— Umbali: Mita 800 kutoka Barabara ya Kimanga Mwisho

๐Ÿ  Faida za Nyumba:
โœ… Kila nyumba inajitegemea
โœ… Mmiliki ni mmoja
โœ… Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha

โš ๏ธ Gharama ya Viewing: TZS 50,000

๐Ÿ“ž Kwa Site Visit na Maelezo Zaidi:
0714 575 588

๐Ÿข WAGS Investment Real Estate Company
๐Ÿ“ Makumbusho Plot No. 73, Block A
๐Ÿ“ฑ Instagram: wags_investment8

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam