Nyumba inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (770 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA TATU ZINAUZWA KWA PAMOJA β TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM
π Nchi: Tanzania
ποΈ Jiji: Dar es Salaam
π Eneo: Tabata Kimanga
π° Bei: TZS Milioni 250 (Maongezi Yapoo)
π Ukubwa wa Viwanja:
β
Nyumba Kubwa β SQMT 420
β
Nyumba Ndogo ya Kwanza β SQMT 175
β
Nyumba Ndogo ya Pili β SQMT 175
π Jumla ya Eneo: SQMT 770
π Nyaraka:
βοΈ Nyumba Kubwa Ina Hati Safi
βοΈ Nyumba Mbili Nyingine Zina Mauziano ya Serikali ya Mtaa (Sales Agreement)
π Umbali: Mita 800 kutoka Barabara ya Kimanga Mwisho
π Faida za Nyumba:
β
Kila nyumba inajitegemea
β
Mmiliki ni mmoja
β
Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
β οΈ Gharama ya Viewing: TZS 50,000
π Kwa Site Visit na Maelezo Zaidi:
0714 575 588
π’ WAGS Investment Real Estate Company
π Makumbusho Plot No. 73, Block A
π± Instagram: wags_investment8















