Tafuta
-
-

Nyumba na Apartments zinazouzwa Goba Njia 4, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 140,000,000

Aina

Nyumba

Huduma na Sifa

Dining
Stoo

Maelezo

Nyumba nzuri sana zinauzwa kwa pamoja zote bei milion 140, Location goba njia 4 dar es salaam

(01) Sifa ya nyumba ya kwanza

Hii ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, dining room, store na public toilet

(02) Hii ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko na public toilet

Zote zina wapangaji

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam