Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju - Mtaa wa Kishua, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🌟 WALE WAPENZI WA NYUMBA MPYA 🌟<br/>🔥 Imebaki 1 tu – Unaingia Tarehe 15 Mwezi huu<br/><br/>📍 Eneo: Bunju – Mtaa wa Kishua 🤣<br/>💰 Kodi: TSh 250,000 kwa mwezi<br/><br/>🏠 Muundo wa Nyumba:<br/>• 🛏️ Chumba 1 Master<br/>• 🛋️ Sebule<br/>• 🍽️ Jiko<br/>• ⚡ Umeme unajitegemea<br/>• 🚿 Maji unajitegemea<br/><br/>📞 Wasiliana Nami:<br/>📲 0687 800 788<br/>📲 0713 958 395















