Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 250,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

INAPANGISHWA LOCATION KIMARA STOP OVER KM 1,5 KUTOKA STEND USAFIRI UPO PIKIPIKI ELF 1
KUPELEKWA KUONA NYUMBA ELFU 20
UKIIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA

SIFA YA NYUMBA
__________________

vyumba viwilli vya kulala chumba kimoja ni master bedroom Sebule kubwa sana na pabrck ya ndani ipo na jiko zuri ndani Inajitegemea umeme NA maji nyumba hii ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana

KODI YA PANGO
_________________

Kwa mwezi ni laki mbili nanusu tuu/=

(250,000)

X6

Jamani hachukuwi chni ya miezi sita unapo anza baadayahapo anaweza kuchukuwa hata chaini ya miezi sita

#0785889413🔥🔥