Tafuta
-
-

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 150,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

1km

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Karibu na Stendi ya Mabasi

Maelezo

🇹🇿 MASTER BED ROOM MPYA YA KISASA – INAPANGISHWA KIMARA KOROGWE

📍 Eneo: Kimara korogwe
🕒 Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 15 kwa miguu.

🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🔹 Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
🔹 Jiko zuri na la kisasa
🔹 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
🔹 Maji yanapatikana masaa 24/7
🔹 Fensi hamna & Parking kubwa na salama

GHARAMA:
🔸 Kodi: Tsh 150,000 × 6 (Miezi sita)
🔸 Malipo ya dalali: Tsh 150,000
🔸 Service charge: Tsh 20,000

📞 #Piga_simu👇

#please #Follow_us 🙏
Karibu Sana Mteja! 😊

Call
0684561351