Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Sinza Kwa Remmy, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba sebule jiko choo 400,000/=sinza kwa remmy kodi miezi 6
#luku yake
#fance ✅no parking
#ukiona nyumba piga cm haraka kabla nyumba haijapangishwa
#service charge ya kuona nyumba 30k.
📞0654221212















