Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Goba Tegeta A β Kavimbirwa, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA β BEI NAFUU SANA!<br/><br/>π Ipo Goba Tegeta A β Kavimbirwa<br/>π Ina chumba, sebule na choo cha ndani<br/>π£ Kilomita 2 tu kutoka lami (Boda 1000)<br/>πΏ Mazingira mazuri na tulivu kwa kuishi<br/><br/>π° Bei: Milioni 20 tu (mazungumzo yapo)<br/><br/>π Muhitaji piga / WhatsApp: +255 688 412 890<br/><br/>Wahi sasa tajiri, fursa kama hizi hazikai muda mrefu!















