Tafuta
-
-

Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Goba Tegeta A – Kavimbirwa, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 20,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Bafu

1

Barabara ya Karibu

2km

Huduma na Sifa

Sebule
Karibu na Barabara

Maelezo

NYUMBA INAUZWA – BEI NAFUU SANA!

📍 Ipo Goba Tegeta A – Kavimbirwa
🏠 Ina chumba, sebule na choo cha ndani
🛣 Kilomita 2 tu kutoka lami (Boda 1000)
🌿 Mazingira mazuri na tulivu kwa kuishi

💰 Bei: Milioni 20 tu (mazungumzo yapo)

📞 Muhitaji piga / WhatsApp: +255 688 412 890

Wahi sasa tajiri, fursa kama hizi hazikai muda mrefu!