Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Goba Tegeta A – Kavimbirwa, Dar Es Salaam

Goba, Ubungo, Dar Es Salaam
1 month ago
Sh. 20,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Bafu
1
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Sebule
Karibu na Barabara
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – BEI NAFUU SANA!
📍 Ipo Goba Tegeta A – Kavimbirwa
🏠 Ina chumba, sebule na choo cha ndani
🛣 Kilomita 2 tu kutoka lami (Boda 1000)
🌿 Mazingira mazuri na tulivu kwa kuishi
💰 Bei: Milioni 20 tu (mazungumzo yapo)
📞 Muhitaji piga / WhatsApp: +255 688 412 890
Wahi sasa tajiri, fursa kama hizi hazikai muda mrefu!
