Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani (300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Bafu
1
Ukubwa
300 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA ZURI SANA LINAUZWA KIBAHA KONGOWE BEI KITONGA KABISA TSH MILIONI 7.2 TU.
==========
π»Lina chumba kimoja Master cha kulala
π»Sebule kubwa
π»Jiko
π» Public toilet
__________________
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
βοΈ Umeme na Maji vimegusa kiwanja cha Boma
π Kiwanja chake kina ukubwa wa 15*20
π Shimo la choo lishajengewa
_____________________
π° BEI MILIONI 7.2 tu.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994
