Tafuta

Nyumba ya vyumba 19 inauzwa Majohe-Shule, Dar Es Salaam (700 sqm)

video thumbnail
Sh. 85,000,000

Maelezo

NYUMBA-4-PAMOJA ZINAUZWA TZS.85 MILIONI, MAJOHE-SHULE.

Nyumba zipo ndani ya Fensi yenye MAGETI mawili.

Kiwanja SQM.700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

●Jumla kuna vyumba 19.
●Vyote vina Wapangaji kwa Sasa.
●Hatma ya uwepo au kuondoka utaamua wewe MNUNUZI/MMILIKI MPYA

MAKUSANYO YA KODI JUMLA NI TZS.1,850,000.
KWA MWEZI
(Sema; MOJA MILIONI,LAKI NANE NA NUSU)

Nyumba Ina KISIMA.

Eneo lipo vizuri.

NAS3MA WAHI.

__________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_________________mpg