Nyumba ya vyumba 19 inauzwa Majohe-Shule, Dar Es Salaam (700 sqm)

Majohe, Dar Es Salaam
6 days ago
Sh. 85,000,000
Maelezo
NYUMBA-4-PAMOJA ZINAUZWA TZS.85 MILIONI, MAJOHE-SHULE.
Nyumba zipo ndani ya Fensi yenye MAGETI mawili.
Kiwanja SQM.700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
●Jumla kuna vyumba 19.
●Vyote vina Wapangaji kwa Sasa.
●Hatma ya uwepo au kuondoka utaamua wewe MNUNUZI/MMILIKI MPYA
MAKUSANYO YA KODI JUMLA NI TZS.1,850,000.
KWA MWEZI
(Sema; MOJA MILIONI,LAKI NANE NA NUSU)
Nyumba Ina KISIMA.
Eneo lipo vizuri.
NAS3MA WAHI.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg



