Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (1300 sqm)

Goba, Ubungo, Dar Es Salaam
7 hours ago
Sh. 650,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
1300 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Huduma na Sifa
Hati
Ardhi Iliyopimwa
Maelezo
NYUMBA NZURI SANA INAUZWA GOBA NJIA NNE
*NYUMBA IPO KWENYE KIWANJA CHENYE UKUBWA WA 1300SQM
*NYUMBA INA VYUMBA SITA NA VYOTE NI MASTER BEDROOM
*KIWANJA KINA HATI MILKI KUTOKA WIZARA YA ARDHI
*NYUMBA IPO UMBALI WA MITA 600 KUTOKA BARABARA YA LAMI
*BEI YA NYUMBA NI 650M (MAONGEZI YAPO)
*KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI
+255620619178
+255748451592
KARIBU SANA OFISINI KWETU MLIMANI CITY, BARABARA YA CHUO KIKUU.
