Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kibamba Hondogo, Dar Es Salaam (500 sqm)

Kibamba, Ubungo, Dar Es Salaam
9 hours ago
Sh. 98,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
1000m
Huduma na Sifa
Tiles
Dining
Jiko
Sebule
Mkataba wa mauziano
Maelezo
NYUMBA. YA VYUMBA 6,TSHS.98 MILIONI, HONDOGO- KIBAMBA.
Eneo ni maarufu kama TANKI LA MAJI.
Tshs. 1,000 yu kwa Bodaboda kutoka Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 6 ( Masta 1) Sebule, Jiko,
Dining-room na Choo cha Familia ndani.
umba inauzwa nyumba ipo kibamba hondogo tank la Maji.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________mpg
